WAWILI WAFARIKI AJALI YA LORI KIMARA, NANE WAJERUHIWA
Watu wawili wamefariki dunia papohapo na wengine nane kujeruhiwa katika ajali iliyosababishwa na lori lililowafuata abiria katika kituo cha daladala Kimara Suka jijini Dar es Salaam. Akizungumzia ajali hiyo leo Ijumaa Januari 28, 2022 Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Murilo amesema watu hao walikuwa wakisubiri usafiri katika kituo
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed